Tuesday, December 20, 2011

EPIQ NATION HATARI TUPU ZANZIBAR

Wananchi mbali mbali katika Jumba la Michenzani wakiangalia promo ya Epiq Nation iliyofanyika katika uwanja wa kisonge  bila kujali usalama wa maisha yao. hata hivyo hakuna mtu yoyote alipata na tatizo hadi kumalizika kwa tamasha hilo. Jumba hilo lina kuna ukubwa wa horofa zisizo pungua tano.

KIJANA KATIKA MAUZO






KIJANA AKIWA AMEPOZI KATIKA JUMBA LA AJABU FORODHANI











HAPA KIJANA AKIANGALIA MAJI YA BAHARI YA HINDI FORODHANI ZANZIBAR
























KIJANA ANAENDELEA KUPUNGUZA MAWAZO KATIKA SEHEMU MBALI MBALI ZA KUPENDEZA