Elewa kuwa kusoma ni haki ya binaadamu kwenye akili timamu au pungufu (taahira). katika miaka ya karibuni Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imejitahidi katika uanzishwaji wa chuo vikuu na vya kati ili kwenda sambamba wa utowaji wa haki kwa wanyonge, na haya sasa ndio matunda yake. hawa ni baadhi ya vijana walihitimu mafunzo katika ngazi mbali mbali katika chuo cha ZIFA kiliopo Wilaya ya kusini.
No comments:
Post a Comment